Image
Image

Wapiganaji 12 wa al-Shabaab wauawa katika mashambulizi ya Marekani.


Wapiganaji 12 wa al-Shabaab wameuawa katika mashambulizi ya jeshi la Marekani dhidi ya kambi ya mafunzo ya kundi hilo kusini mwa Somalia.
Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani Bw. Jeff Davis amesema operesheni hiyo ilifanywaa kutokana na kudhaniwa kuwepo kwa tishio dhidi ya vikosi vya Marekani nchini humo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment