Image
Image

Antoine Griezimann asalia Atletico Madrid msimu huu hadi 2021

Baada ya kusakwa na vilabu vingi   barani Ulaya kama Bayern Munich,Chelsea na Paris Saint Germain, mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa na mshambuliaji nyota wa timu ya Atletico Madrid ya Uhispania Antoine Griezimann mwenye umri wa miaka 25 hatimaye achukuwa uamuzi wa kusalia katika timu yake ya  Atletico Madrid.
Greizman kachukuwa uamuzi huo baada ya kuongeza mkataba wa mwaka moja na kuendelea kuichezea timu yake ya Atletico Madrid mpaka mwaka 2021.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment