Image
Image

TULIA:Kutoka nje kwa wabunge wa Upinzani kunawakosesha haki ya msingi wananchi.

Naibu spika wa Bunge Dkt. TULIA ACKSON amesema wabunge wanaotoka nje ya ukumbi wa bunge wakati wa vikao vya bunge wanawanyima haki wananchi wanaowawakilisha.
Dokta TULIA ameyasema hayo mjini dodoma katika mahojiano yake na TBC na kuongeza kuwa zipo njia nyingi za kikatiba za wabunge kuwasilisha malalamiko yao badala ya kususia vikao jambo ambalo amesema sio la kikanuni
Kwa upnde wao baadhi ya wabunge waliozungumzia hali hiyo wamesema elimu zaidi inahitajika kwao ili waweze kuwawakilisha wanachi kikamilifu.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment