Gesi ya helium ambayo ni adimu hutumiwa kwenye vifaa vya kitabibu kama mashine ya kuchukulia vipimo vya MRI Scanner, kubashiri moto viwandani, kuunganisha vyuma na nishati ya nyuklia.
Gesi hiyo pia hutumika kubaini alama kwenye za utambulisho wa bidhaa. Kwa Tanzania gesi ya helium iligunduliwa na wataalamu kutoka Uingereza Juni mwishoni mwaka huu.
Sorce:Mwananchi.


0 comments:
Post a Comment