Image
Image

Cenk İldem aishidia Uturuki medali ya tatu katika michezo ya Olimpiki Rio 2016

Cenk İldem aishidia Uturuki medali ya tatu katika michezo ya Olimpiki  Rio 2016
Mwanamieleka kutoka Uturuki kwa jina la Cenk Ildem ameishindia Uturuki katika michezo ya Olimpiki Rio 2016 medali ya 3 katika kitengo cha  mieleka uzito wa zaidi ya kilo 98.
Mchezaji huyo hodari amejinyakulia medali hiyo kwa ushindi aliopata katika michezo uya Olimpiki ya Rio 2016.
Mwanamieleka huyo ameipatia ushindi na medali hiyo ya tatu baada ya kumshinda asimu wake kutoka Rumania kwa jina la  Alin Alexuc-Ciuriaru.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment