Cenk İldem aishidia Uturuki medali ya tatu katika michezo ya Olimpiki Rio 2016
Mwanamieleka
kutoka Uturuki kwa jina la Cenk Ildem ameishindia Uturuki katika
michezo ya Olimpiki Rio 2016 medali ya 3 katika kitengo cha mieleka
uzito wa zaidi ya kilo 98.
Mchezaji huyo hodari amejinyakulia medali hiyo kwa ushindi aliopata katika michezo uya Olimpiki ya Rio 2016.
Mwanamieleka
huyo ameipatia ushindi na medali hiyo ya tatu baada ya kumshinda asimu
wake kutoka Rumania kwa jina la Alin Alexuc-Ciuriaru.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 comments:
Post a Comment