Katibu wa chadema kanda ya Serengeti Bw.Renatus Nzemo akitoa tamko la operesheni UKUTA.
Wanachama wa chadema wakimsikiliza katibu wa kanda wakati akitoa tamko la kanda.
Wanachama
na viongozi wa CHADEMA wilaya ya Shinyanga wakionesha alama ya
operesheni UKUTA katika ofisi ya kanda ya Serengeti iliyoko mjini
Shinyanga.
Katibu wa CHADEMA kanda ya Serengeti Bw.Renatus Nzemo akikabidhi bendera kwa viongozi wa CHADEMA wilaya ya Shinyanga Leo.
Na.Frank Mshana,Shinyanga.
Chama cha demokrasia na maendeleo kanda ya Serengeti inayoundwa na mikoa mitatu ya Mara, Shinyanga na Simuyu umetoa tamko rasmi kuhusu operation ukuta iliyopangwa kuanza septemba mosi 2016 huku katibu wa kanda hiyo Bw.Renatus Nzemo akiwataka wanachadema kujitokeza kwa wingi bila kuogopa ili lengo la kuitambulisha dunia azma yao ya kukataa kukandamizwa ikamilike.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)





0 comments:
Post a Comment