Kwa mujibu wa utafiti uliotolewa ni kuwa kiwango cha kuathirika na virusi huwa juu zaidi wakati wa majira ya asubuhi .Utafiti
huo ulifanywa kwa kutumia panya katika chuo kikuu cha Cambridge ambapo
virusi vinavyosababisha mafua na ugonjwa wa malengelenge vilitumika na
matokeo kuchapishwa katika jarida la PNAS.
Takwimu katika makala
hayo zilizonyesha kuwa uambukizaji na ukitaji wa virusi hivyo huwa juu
zaidi kwa mara 10 asubuhi ikilinganishwa na uambukizaji wa jioni.
Aidha
utafiti huo ulionyesha kuwa mwili wa binadamu huwa na kinga dhaifu
zaidi dhidi ya virusi ikiwa mtu anasafiri kwa muda mrefu kwa kutumia
ndege au kufanya kazi kwa muda mrefu .
Home
Afya
Slider
Utafiti uliofanywa kupitia Panya wabaini virusi vya Mafua huambukizwa Mara 10 kila Asubuhi.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 comments:
Post a Comment