Image
Image

Uturuki yashinda medali yake ya pili katilka michezo ya Olimpiki Rio.



Katika michezo ya Olimpiki ya Rio ya mwaka 2016, kitengo cha mieleka mcheza mieleka kutoka Uturuki kwa jina la  Riza Kayaalp ambae alikupambana na mcheza mieleka kutoka Cuba kwa jina la Mijain Lopez Nunez aliangushwa.
Baada ya kuangushwa na Nunez ambae amepata ushindi kwa mara ya 3 na kujinyakulia medali ya dhahabu, Riza amechukuwa nafasi ya pili na kujinyakulia medali ya fedha.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment