Wafwasi 133 wa aleikuwa mgombea kitiki cha
urais kwa tikiti ya chama cha upinzani cha UPND Hakainde Hichilema
wakamatwa na polisi katika maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa
urais nchini Zambia.Kwa mujibu wa mkuu wa idara ya polisi wa
Zambia Godwin Phiri alifahamisha ya kwamba waliwakamata wafuasi wa
Hichilema baada yakuonekana wakifanya uharibifu wa vitu vya wafuasi wa
rais wa Zambia Edgar Lung katika maandamano hayo.
Ifahamike ya kwamba rais Edgar Lungu aliibuka na ushindi kwa asilimia 50,3 katika awamu ya kwanza dhidi ya Hakainde Hichilema katika uchaguzi mkuu nchini Zambia.
Ifahamike ya kwamba rais Edgar Lungu aliibuka na ushindi kwa asilimia 50,3 katika awamu ya kwanza dhidi ya Hakainde Hichilema katika uchaguzi mkuu nchini Zambia.


0 comments:
Post a Comment