Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na wizara
ya ulinzi ya Marekani, waziri wa ulinzi wa Marekani Ashton Carter
aipongeza Uturuki kwa mchango wake ilio onesha kufuatia kuukombowa mji
wa Menbij nchini Syria katoka mikononi mwa Daesh.Waziri huyo
katika tangazo hilo pia alizitowa pia pongezi kwa rai na idara ya jeshi
ya mjini Menbij huku akizitowa tena pongezi kwa vikosi vya muungano
kufutia shuhuli zake za kuendelea kupambana na Daesh.
Waziri huyo alimalizia na kusema ya kwamba ku kamatwa kwa mjii wa Menbij itakuwa ni fursa ya kuokombowa mjii wa Raqqa na kuimaliza Daesh hivi karibuni.
Waziri huyo alimalizia na kusema ya kwamba ku kamatwa kwa mjii wa Menbij itakuwa ni fursa ya kuokombowa mjii wa Raqqa na kuimaliza Daesh hivi karibuni.


0 comments:
Post a Comment