Timu ya taifa ya Uturuki iliikaribisha Ukrein
kwenye mechi yao ya pili ya makundi ya kuwania kufuzu mashindano ya
kombe la dunia la FIFA 2018.Mechi hiyo ilichezwa katika uga wa Torku Arena ulioko mjini Konya nchini Uturuki.
Timu ya taifa ya Uturuki ilianza vibaya mechi hiyo na kumaliza kipindi cha kwanza 2-1 baada ya kufungwa na Ukrein.
Lakini katika kipindi cha pili, Uturuki ilicheza vyema zaidi na kufanikiwa kumaliza mechi hiyo kwa sare ya 2-2.
Magoli ya Uturuki yalifungwa na Ozan Tufan na Hakan Çalhanoğlu huku Ukrein ikipata magoli yake kupitia wachezaji Andriy Yarmolenko na Artem Kravets.
Mwenyekiti wa zamani wa AKP na waziri mkuu wa zamani Ahmet Davutoglu pamoja na rais wa TFF Yıldırım Demirören walitazama mechi hiyo uwanjani.
Timu ya taifa ya Uturuki ilianza vibaya mechi hiyo na kumaliza kipindi cha kwanza 2-1 baada ya kufungwa na Ukrein.
Lakini katika kipindi cha pili, Uturuki ilicheza vyema zaidi na kufanikiwa kumaliza mechi hiyo kwa sare ya 2-2.
Magoli ya Uturuki yalifungwa na Ozan Tufan na Hakan Çalhanoğlu huku Ukrein ikipata magoli yake kupitia wachezaji Andriy Yarmolenko na Artem Kravets.
Mwenyekiti wa zamani wa AKP na waziri mkuu wa zamani Ahmet Davutoglu pamoja na rais wa TFF Yıldırım Demirören walitazama mechi hiyo uwanjani.


0 comments:
Post a Comment