Image
Image

Askari mmoja afariki katika shambulizi lililotekelezwa na PKK Van Uturuki

Askari mmoja ameripotiwa kufariki baada ya kushambuliwa na bomu lililotegwa na wanamgambo wa kundi la kigaidi la PKK katika mkoa wa Van.Gavana wa mkoa wa Van amefahamisha kuwa shambulizi hilo lilitekelezwa na wanamgambo wa PKK.
Van ni mkoa unaopatikana  mashariki mwa Uturuki ambapo mara nyingi wanamgambo wa PKK huendesha mahambulizi yao.
Jeshi la Uturuki limeanzisha operesheni baada ya tukio hilo ili kuwatia mbaroni walohusika na shambulizi hilo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment