Polisi Kaskazini Mashariki mwa Kenya mjini
Mandera wafahamisha watu sita kuuawa baada ya shambulizi kutekelezwa na
wanamgambo wa Al Shabaab.Inasemekana kuwa Al Shabaab walikuwa
wanalenga kushambulia jumba moja lililokuwa linalindwa kwa ua
walipovamia mapema asubuhi siku ya Alhamis.
Mkuu wa polisi Joseph Boinnet aliambia shirika la habari la AFP kuwa watu 33 waliokuwa ndani ya eneo la jumba hilo wameokolewa .
Mkuu wa usalama Mohamud Ali Saleh alisema kuwa washambuliaji hao walitumia mabomu ili kuweza kuingia katika jumba hilo lililokuwa chini ya ulinzi mkali.
Mkuu wa polisi Joseph Boinnet aliambia shirika la habari la AFP kuwa watu 33 waliokuwa ndani ya eneo la jumba hilo wameokolewa .
Mkuu wa usalama Mohamud Ali Saleh alisema kuwa washambuliaji hao walitumia mabomu ili kuweza kuingia katika jumba hilo lililokuwa chini ya ulinzi mkali.


0 comments:
Post a Comment