Mke wa Rais Salma Kikwete amewataka wazazi nchini kushirikiana kikamilifu katika kuwahudumia watoto wao, ikiwa ni pamoja na kuwapeleka kwenye vituo vya afya ili kupata chanjo ya magonjwa mbalimbali.
![]() |
| Salima Kikwete Mke wa Rais |
Naye Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani Dk.Rufaro Chatora amesema imebainika kua chanjo huzuia takriban vifo vya takriban watoto milioni mbili hadi tatu kila mwaka.


0 comments:
Post a Comment