Mapema jana
watu watano miongoni mwao wakiwemo
maafisa wawili wa polisi walijeruhiwa baada ya watu waliokuwa na silaha
kushambulia vituo vya polisi karibu na mpaka wa Kenya na somalia.
Kiongozi
huyo wa garisa alikuwa akizungumza baada ya kukutana na viongozi na wazee wa
kaunti hiyo kuzungumzia hali ya amani
ambapo amesema watafanya kila liwezekekanalo kuimarisha hali amani kwa
wakazi wa eneo hilo.
Mashambulio hayo
yametokea katika miji ya Dadaab na Liboi. Tiyari wakuu wa polisi na viongozi
wengine waaandamizi wamekutana kuzungumzia hali hiyo na huku ulinzi makali ukiimarishwa


0 comments:
Post a Comment