Wajasiriamali
wanaojihusisha na uvuvi wa dagaa katika
mwambao wa ziwa victoria nchini kenya wamepatiwa semina ya jinsi ya kutumia
njia bora ya kutayarisha samaki ili kuwaongezea thamani katika soko la biashara
ndani na nje ya nchi.
Wakielezea
baada yakunufaika na semina hiyo iliyofadhiliwa na taasisi isiyo ya kiserikali
wamesema wameshukuru kupata elimu hiyo ambayo wamedai itawasaidia katika kukuza
biashara yao hususani baara ya kupata mkataba wa kusafirisha dagaa hao nje ya
nchi.


0 comments:
Post a Comment