![]() |
Hii ndio daladala ambayo
marehemu alikuwa akitaka kudandia na kudondoka kwa bahati mbaya
|
![]() |
Wasamaria wema wakisaidia
kumpakia kwenye gari kwa kumpeleka hospitalini
|
![]() |
Umati wa watu ukishuhudia
ajali maeneo ya Ilala Boma asubuhi hii
|
![]() |
Askari wa usalama
barabarani akichukua maelezo kwa dereva aliyesababisha ajali.
|
![]() |
Mwili wa marehemu ukiwa
tayari kuondolewa kupelekwa hospitali
|
0 comments:
Post a Comment