Image
Image

EXCLUSIVE: VIONGOZI WA NCHI ZA AFRIKA WATOA WITO KWA WASHIRIKA WAO ULIMWENGUNI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA KUPAMBANA NA KIFUA KIKUU NA MALARIA.

Viongozi wanchi mbalimbali za Afrika wametoa wito kwa washirika wao kote ulimwenguni kuunga mkono juhudi za kuchangisha fedha za fuko la kimtaifa la kupambana na ukimwi, kifua kikuu na malaria yaani Global Fund.

Ombi hilolimetolewa kwenye mkutano wa muungano wa Afrika (AU) mjiniAddis AbabaEthiopiawakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya muungano huo.

ADDIS ABABA
Mwenyekiti wa AU waziri mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn, amewataka zaidi ya marais 30 kumuomba kila mtu kusaidia kufanikisha azma ya Global Fund ya kutaka kuchangisha  dola bilioni 15 billion .



Katika azimio lililopitishwa Jumatatu wakuu wa nchi wa Afrika wamesema wanaungana pamoja katika juhudi zao za kupambana na ukimwi, kifua kikuu na malaria.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment