Catherine Huck,
Kamishna wa UNHCR amesema kwamba, ni vigumu kujua idadi ya Warundi waliofukuzwa
kutoka Tanzania lakini kwa uchache ni watu kati ya elfu 20 hadi elfu 30.
Karibu Warundi milioni moja walivuka mpaka na kuingia
Tanzania wakati wa vita vya ndani vya mwaka 1993.
Ingawa wakimbizi wengi wa
Burundi walirejea nchini kwao baada ya vita hivyo kuisha mwaka 2006 lakini
baadhi yao bado wanaishi nje ya nchi ikiwemo Tanzania.


0 comments:
Post a Comment