Image
Image

MRADI WA ULINZI NGAZI NA FAMILIA MKOA WA KINONDONI WAZINDULIWA LEO


 Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova akitoa hotuba yake wakati akizindua mradi wa ulinzi ngazi na familia mkoa wa Kinondoni Tarafa ya Kinondoni leo Octoba 11-2013 kwenye viwanja biafla jijini Dar es salaam,pia amewataka wananchi kutoa taarifa kwenye jeshi la polisi watu ambao wanaishi nao wasikubali kukaa na watu ambao hawajui kazi wanazofanya.





Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment