Image
Image

UHUSIANO WA AFRIKA NA ICC, AU YATOA MAADHIMIO ADDIS ABABA.


                    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya.

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amerejea nyumbani baada ya kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Umoja wa Afrika mjini Addis Ababa, Ethitopia ambao umeazimia kwa kishindo kwamba yeye na Naibu wake William Ruto, wasionekane kwenye mahakama ya Kimataifa ya uhalifu - ICC.

Mkutano huo wa Wakuu wa nchi za Afrika ulikuwa chini ya uenyekiti wa Waziri Mkuu wa Ethiopia Haile Mariam Dessalgn ambapi ulijadili kwa kina uhusiano wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu - ICC na bara la Afrika.

Wazungumzaji katika Mkutano huo wamelitakata Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na ICC kushirikiana na Umoja wa Afrika, kuhakikisha uongozi wa Kenya unatekeleza majukumu yake ya kikatiba.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment