Image
Image

VIBALI VILIVYOKUWA VIKITOLEWA NA MATAPELI KWAWAGENI, IDARA YA UHAMIAJI YAFANIKIWA KUDHIBITI UHARAMIA UHO.




Idara ya uhamiaji nchini imesema imefanikiwa kudhibiti hati na vibali bandia vilivyokuwa vikitolewa na matapeli kwa wageni wanaoingia nchini baada ya kuanzisha utoaji vibali kwa njia ya kieletronic ambavyo vimewekwa alama nyingi za usalama ambazo sio rahisi kuzinakili.

Mrakibu Mwandamizi anayeshughulikia utoaji wa vibali kwa wageni wanaoingia nchini Bw,Philon fabian ketema amesema utaratibu huo ulioanzishwa mwezi june mwaka huu umesaidia kudhibiti vibali feki vya ukaazi ambavyo vilikuwa vikisababisha upotevu wa mamilioni ya fedha serikali.

Katika kuhakikisha Uhamiaji inapambana na udanganyifu pamoja na vitendo vya rushwa kwa baadhi ya watumishi wa idara hiyo  ,Idara hiyo imeanzisha uombaji visa,passport kwa njia ya mtandao ambapo mwombaji mara atakapokamilisha taratibu anatakiwa kulipipia kwa njia ya benki tofauti na awali.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment