Image
Image

WAZIRI BI. GAUDENSIA KABAKA AWATAKA WAAJIRI KUWAPA UHURU WAAJIRI WAO KATIKA MIFUKO YA HIFADHI ZA JAMII.



Gaudensia Kabaka - Waziri wa kazi na ajira Tanzania.

Waziri wa kazi na ajira Gaudensia Kabaka amewataka waajiri nchini kuwapa uhuru wafanyakazi wao wa kuchagua mifuko ya hifadhi za jamii wanayoitaka kutokana na faida watakazozipata badala ya kuwalazimisha kujiunga na mfuko mmoja wanaoutaka waajiri.
Akifunga mkutano mkuu wa sita wa mwaka wa mfuko wa pension wa LAPF jijini arusha waziri kabaka amesema katika marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 2012,mifuko inapaswa kumtambua mdhibiti wa mifuko na kwamba mifuko hiyo ni kwa watanzania wote bila kuchagua anafanyakazi sehemu gani.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment