Image
Image

WANASIASA WATAKIWA KUHAKIKISHA NCHI INAENDELEA KUWA NA AMANI, KWA KUFUATA MISINGI ALIYOIACHA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE.




Wakati Tanzania kesho ikiadhimisha kumbukumbu ya kifo cha baba wa taifa hayati Mwalimu julius kambarage nyerere wadau mbali mbali wametoa maoni yao na kuwataka wanasiasa kuhakikisha kuwa nchi inaendelea kuwa na amani na mshikamano kwa kupinga viashiria vinavyoweza kuligawa taifa katika misingi ya ukabila na dini.

Wamesema mwalimu nyerere alipinga ubaguzi kwa kuwajenga wananchi wote katika misingi ya kuheshimiana pamoja na kuvumiliana hali ambayo hivi sasa imeanza kupotea.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment