Image
Image

Kenya ipo tayari kusajili silaha haramu katika maeneo ya mipakani kwaajili ya mapambano.

                                              Silaha Haramu

Waziri wa usalama wa Kenya Bw. Joseph Nkaissery jana amesema, Kenya itasajili silaha haramu katika maeneo ya mipakani ambazo hutumika katika mashambulizi. 

Akizungumza mjini Nairobi, Nkaissery amesema, kuenea kwa silaha ndogo ni hatari kubwa kwa usalama wa nchi hiyo. 


Amesema kuwa, changamoto za usalama zinazoikabili Kenya ni mambo yanayofuatiliwa sana, na serikali itafanya kila iwezalo kuhakikisha usalama wa kutosha na kuhakikisha mazingira yenye usalama kwa biashara na uwekezaji.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment