Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (Mb) akisisitiza jambo katika mazungumzo na Mwana wa Mfalme wa Saudia Prince Bandar bin Saud bin Mohammad Al-Saud ambaye pia ni Rais wa Mamlaka ya Wanyamapori ya Saudi Arabia.
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhem Meru (kati) akiongea
katika mazungumzo baina ya ujumbe wa Tanzania na Saudi Arabia. Kulia ni
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mhe. James
Lembeli na kushoto ni Balozi wa Tanzania Saudi Arabia Prof. Abdillah Omari.
Mwana wa Mfalme wa Saudia Prince Bandar bin Saud bin Mohammad Al-Saud ambaye pia ni Rais wa Mamlaka ya Wanyamapori ya Saudi Arabia akiongea katika mazungumzo hayo.
Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi akichangia jambo katika mazungumzo
hayo. Wengine pichani kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori
Herman Keraryo; Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii Mhe. Peter Msigwa;
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mhe. James
Lembeli na Balozi wa Tanzania Saudi Arabia Prof. Abdillah Omari.
Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu
(wa tatu kushoto) ukiwa katika picha ya pamoja na Mwana wa Mfalme wa Saudia
Prince Bandar (wa nne kushoto) jijini Riyadh, Saudi Arabia. Wengine kutoka
kushoto ni Balozi wa Tanzania Saudi Arabia Prof. Abdillah Omari; Katibu Mkuu
Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhem Meru; Waziri Kivuli wa Maliasili na
Utalii Mhe. Peter Msigwa; Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na
Mazingira Mhe. James Lembeli; Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi na
Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori Herman Keraryo.
Ujumbe wa Mwana wa Mfalme wa Saudi Arabia ukifuatilia mazungumzo hayo.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.
Lazaro Nyalandu (kulia) akiwa na mazungumzo na (kutoka kulia) Katibu Mkuu
Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhem Meru; Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge
ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mhe. James Lembeli na Waziri Kivuli wa
Maliasili na Utalii Mhe. Peter Msigwa muda mfupi kabla ya kuanza kwa mazungumzo
baina ya Tanzania na Saudi Arabia jijini Riyadh, Saudi Arabia.
Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukiongozwa na Waziri wa
Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (Mb) katika mazungumzo na Mwana wa
Mfalme wa Saudia Prince Bandar bin Saud bin Mohammad Al-Saud ambaye pia ni Rais
wa Mamlaka ya Wanyamapori ya Saudi Arabia. Wengine katika picha kutoka kulia ni
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhem Meru; Balozi wa Tanzania
Saudi Arabia Prof. Abdillah Omari; Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi,
Maliasili na Mazingira Mhe. James Lembeli; Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii
Mhe. Peter Msigwa; Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi;Mkurugenzi wa Idara
ya Wanyamapori Herman Keraryo na Afisa wa Ubalozi Ndg. Sufian.

0 comments:
Post a Comment