Image
Image

Watuhumiwa wawili wa kashfa ya Escrow Waburuzwa makama ya Kisutu jijini Dar es Salaam


Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa nchini Tanzania TAKUKURU imewaburuza mahakamani  baadhi ya watuhumiwa wawili wanao kabiliwa na Kashfa ya uchotwaji Fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow Kisutu Kisutu Jijini Dae es Salaam

Waliofikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam ni Mhandisi TEOFILI JOHN kutoka Wizara ya Nishati na Madini ambaye anakabiliwa na kosa la kupokea rushwa ya shilingi milioni 161.
Alipokea fedha hizo sehemu ya akaunti ya Tegeta Escrow kutoka kwa JAMES RUGEMARILA yeye akiwa msimamizi wa mradi wa mpango wa umeme vijijini.
Mtuhumiwa wa pili ni Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi Bwana RUGWENZIBA TEOFILI aliyepokea shilingi milioni 300 kwa ajili ya kusimamia kesi za IPTL.

Endelea kutufuatilia tutakujuza kila Hatua.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment