Hayo yamebainishwa na Afisa wa
tume hiyo kitengo cha Uchambuzi wa Mifumo ya Kompyuta,
Bw ana MARTNI MNYENYELWA, katika
mafunzo ya awali kwa Maafisa Waandikishaji, na wasaidizi wao,Maafisa Uchaguzi
na wasaidizi wao, Mkoani Tabora .
Amesema matatizo ya
awali ya ilisababishwa na vifaa
na sasa tume imejiandaa ipasavyo.
Akifungua semina hiyo elekezi ya
jinsi ya kutumia mashine za BVR,Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Tabora
, Bw ana RONGONO KAZIMOTO amesema, ili kufanikisha
zoezi hilo viongo zi wa ngazi zote kuanzia mkoa hadi vijiji hawana budi kushiriki katika
kuihamasisha jamii ili wajitokeze katika uandikishaji m u da utakapofika .
Kwa mujibu wa Bw ana KAZIMOTO, Mkoa wa Tabora wenye wakazi i zaidi ya Milioni Mbili na Laki- Mbi li
kutokana na sensa ya mwaka 2012, ina vituo vya kuandikisha 1, 523,
ambapo inatarajia kuandikisha wananchi wenye sifa za kupiga kura Milioni 1,
Laki- 1 , Elfu-24 na 167.
0 comments:
Post a Comment