Image
Image

News Alert: Rais Kikwete awaasa viongozi wa CCM kuweka tofauti zao pembeni na kupitisha majina ya wagombea wenye sifa.

Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi  Rais Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa CCM kuweka tofauti zao pembeni na kuhakikisha wanapitisha majina ya wagombea wenye sifa na wanaokubalika na wananchi kwenye uchaguzi mkuu ujao ili kukiwezesha chama hicho kushinda kwa kishindo.
Mwenyekiti huyo anatoa angalizo hilo wakati akifungua mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya CCM {NEC} ambapo ameonya endapo viongozi wa chama hicho watapitisha majina ya wagombea kwa utashi wao na kusahau kuwa nguvu kubwa ya ushindi iko kwa wananchi ambao ndio wengi chama hicho kisitarajie kuibuka na ushindi mkubwa kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment