Wakizung umza katika uzinduzi wa Kanisa Katoliki
la Parokia ya Kitete Wilayani
Karatu ,wananchi na viongozi
hao akiwemo Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki la Musoma Bwana
MICHAEL MDONGAZILA wamesema wanasiasa wanaweza kufanya kampeni zao na
zikaenda vizuri bila kuyahusisha
madhehebu ya dini hivyo hakuna sababu ya wanasiasa kutumia nyumba za ibada .
Askofu
MICHAEL amesema licha ya kuwepo
kwa u husiano wa dini
na siasa, kila kimoja kina
taratibu zake na ni
vyema zikafuatwa na
kulindw a, kwani uzoefu
unaon es ha kuwa maeneo yote ambayo dini na
siasa zimechangan ywa amani imetoweka.
Wananchi
hao am bao asilimia kubwa ni
wakulima wametumia hafla hiyo
kueleza kero ya ubovu wa
miundombinu ya barabara wakidai kuwa
nyingi hazipitiki hasa
wakati huu wa mvua jambo linalosababisha washindwe
kusafiri kutoka eneo moja
hadi jingine kutafuta
mahitaji yao yakiwemo ya chakula
.


0 comments:
Post a Comment