Kwahatua hiyo inanipa nguvu
zaidi ya kuendelea kuwapasha habari na hivyo nimatumaini yangu kwamba tupo
pamoja kabisa katika hili ambapo maoni mbali mbali mmekuwa mkitoa na hivyo
kufaniwa kazi kwa wakati.
Wapo wengi ambao wamekuwa
wadau wakubwa T.I.Fm Radio,SBM Broadcasting Magazine $SBM Fm radio,TV,Zanz
news, Handeni Kwetu,Michuzi,Milard ayo,Full Shangwe,24Blogs,Luccy
Patric.Blogspot.com,ITV Tanzania Tz,Kakunda BlogNk.Niwatu ambao kwa namna moja
ama nyingine wamekuwa washirika wazuri hasa katika kupashana habari kupitia
sehemu mbali mbali.
Wito wangu nikwamba vijana
ninguvu kazi ya taifa hivyo hakuna budi kujikwamua kiuchumi ili kuweza kuletea
taifa maendeleo bila kukata tama.
“Katika maisha hapakuwa na
aliyefika kwa siku moja hapana vikwazo na changamoto imekuwa sehemu ya maisha
so tunapo pitia vikwazo hakika lazima akili ipanuke na kukaa imara ili kufanya
ukitakacho,usiogopeshwe na mtu kila mtu kapangiwa lake naamini kwa juhudi wewe
na mimi tunaweza”.
Uthubutu katika maisha
ninguzo ya msingi sanaa ninayo iamini tusisite kwa wale ambao bhado kujaribu
sehemu yeyote kubata kazi,tunajua ajira inaugumu fla kwakuwa imeingiliwa na
urasimu wa matabaka kadhaa,ila kupitia hapo ndipo kipimo cha akili.
Hakuna kazi ndogo kamwe kila
kazi ina maana yake huwezi kufika juu bila kuanzia chini,maisha sawa na mtoto
mchanga tambaa,shika ukuta mdogo mdogo unaanza tembea ndio utakapo ona raha
yake,usitishwe na waongea mbovu yaani wakatishaji tama hao wapo hivi unadhani
kuna anayependa uendelee kimaisha ili hali yeye bado yupo pale pale,isitoshe
pengine ndio umetoka kuchukua ha digree flani hivi ama cheti safii,ama una
uwezo mzuri hapana chamsingi tengeneza Network kwa watu mbali mbali usimdharau
mkubwa wala mdogo katika maisha huwezi jua atakaye kutoa kimaso maso.
Pongezi kwa mlioweza
kufanikisha hadi nikafika hapa nilipo nawatakieni mema maisha nay awe marefu
kwenu,natamani kuwataja nani na nani ila niwengi na wanaelewa kwamba ushirikiano
wao ndio umefanya hivi,Na wapo wanao endelea kunitumia ujumbe mfupi wa
maandishi(SMS)Kupitia Faceebook,WatsApp,Instagram,Vime,Imo,Nk.Nimeweza kupokea
zaidi ya SMS 400 hadi satano mchana nab ado zinaendelea nifaraja ya aina yake
yani,wanao piga nao walipiga tukaenda sawa.
Msaka Noti Manoti – Muasisi wa Noti Barani Afrika(Pchani)
hapo wakati alipokuwa akijibu na kuchati na watu mbali mbali kwenye siku yake
yaleo ya kuzaliwa May 15/2015.
Namalizia hivi mwenyezi mungu
anampenda kila mmoja kwa kuwa yeye ndiye muumbaji sasa usogope ubaguzi ambao
tunabaguana sisi wenyewe amini mungu ni muweza kwa yote.
0 comments:
Post a Comment