Baadhi ya wabunge wa jiji la Dar es Salaam wamemtaka
waziri mkuu kuiangalia Dar es Salaam kwa jicho la kipekee hasa katika ujenzi wa
miundombinu ya maji ya mvua pamoja na udhibiti wa ujenzi usiozingatia uhifadhi
wa mazingira ili kuwanusuru wakazi wa jiji hilo na maafa ya mafuriko ambayo
yamekuwa yakiwakumba kila mara na kusababisha vifo.
Kauli hiyo imetolewa na wabunge wakati wakichangia bajeti ya ofisi ya waziri mkuu na bunge ambapo wamegusia suala la mafuriko katika jiji la da es salaam lililo wafanya watu kupoteza maisha na wengine kukosa makazi ya kuishi baada ya nyumba zao kubomoka kufuatia mvua iliyonyesha na kusababisha mafuriko.
Kauli hiyo imetolewa na wabunge wakati wakichangia bajeti ya ofisi ya waziri mkuu na bunge ambapo wamegusia suala la mafuriko katika jiji la da es salaam lililo wafanya watu kupoteza maisha na wengine kukosa makazi ya kuishi baada ya nyumba zao kubomoka kufuatia mvua iliyonyesha na kusababisha mafuriko.
Baadhi ya
wabunge wametaka kusikia sauti ya waziri mkuu juu ya mafuriko hayo pamoja na
kutoa maelezo ya kinaga ubaga juu ya
uboreshaji wa miundombinu ya barabara ambayo imekuwa ikilalamikiwa kwa muda
sasa na kusababisha ajali za mara kwa
mara wakitolea mfano eneo la Ruvu Kibaha.
Mh.Idd Azan ambaye ni Mbunge Kinondoni na Mh Zungu Mbunge Ilala,Lucy
Owenya Mbunge Viti Maalum Chadema wamekuwa na kiu ya kujua na kufahamu juu ya
msimamo wa Mh. Waziri pinda->>Bofya Hapa kuona na kusikia walichouliza.
0 comments:
Post a Comment