Image
Image

TRAKOMA yawakumba watu 36 mkoani mtwara*Baadhi wagoma kutibiwa*Ekimu ni chanzo cha hili.


Watu elfu 36 wanasadikiwa kuwa na ugonjwa wa vikope ama TRAKOMA katika mkoa wa mtwara, huku baadhi yao wakigoma kupatiwa matibabu kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ukosefu wa elimu juu ya athari ya ugonjwa huo ambao husababisha upofu wa macho.
Akizungumza katika uzinduzi wa programu maalumu ya miaka minne iliyofanyika wilayani masasi kata ya namatutwe kaimu mganga mkuu wa mkoa Mohamed Kodi amesema wilaya ya masasi inaongoza kwa ugonjwa huo ambao husababishwa na uchafu.
Kwa upande wake Dokta Eduward Kilumbi mratibu wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kutoka wizara ya afya anaeleza ukubwa wa tatizo hilo.
Programu hiyo imefadhiliwa na nchi ya uingereza kwa kushirikiana na shirila la ima WORLD HELDH NA HELLEN KELLER INTERNATIONAL.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment