Image
Image

News Alert:Watu 72 wamekufa na wengine wengi hawajaonekana kufuatia kuzuka moto kwenye kiwanda cha viatu vya mpira Philippines Manila.


Watu 72 wamekufa na wengine wengi hawajaonekana kufuatia kuzuka moto kwenye kiwanda cha viatu vya mpira kwenye kitongoji kimoja cha mji mkuu wa Philippines, Manila.
Kutokana na hali halisi ilivyo maafisa wanasema idadi ya watu waliokufa
kutokana na janga hilo huenda ikaongezeka.Lakini meya wa eneo hilo amesema hawatarajii kuongezeka kwa idadi kubwa ya watu waliokufa kwani miili iliyopatikana inalingana idadi ya watu waliokuwa hawajaonekana.
Wengi wa waathirika inasadikiwa walikufa kwa kuvuta hewa nzito ya moshi wa mipira iliyokuwa inawaka na kemikali.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment