Image
Image

Serikali imeshauriwa kutumia Ma - BILIONI ya fedha zinazotumika kuagiza mafuta ya kula nje ya nchi, kwa kuongeza uzalishaji.


Serikali imeshauriwa kutumia Ma - BILIONI  ya fedha zinazotumika kuagiza  mafuta ya kula nje ya nchi, kwa kuongeza uzalishaji wa mbegu bora za Alizeti na ufuta, na kufanya mabadiliko yaviwanda , a mbapo vijana wengi watapata ajira .
Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi - CUF -Profesa   IBRAHIMU LIPUMBA  wilayani nzega mkoa ni Tabora, alipokuwa  akiwahutubia wananchi kati ka viwanja vya maegesho ya magar i ya mizigo Mjini Nzega .
Amesema tatizo la ajira l itatatuliwa pale matumizi bora ya rasilimali zilizopo zita tumika ipasavyo.
Mwenyekiti huyo wa CUF a mbaye yupo  ziara ni   Mkoani Tabora   kuwahamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari la kudumu  la wapigakura.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment