Image
Image

Watu waliokufa kutokana na joto kali india sasa imefikia zaidi ya elfu moja.


Idadi ya watu waliokufa kutokana na joto kali li naloendelea kuikumba India sasa  imefikia zaidi ya elfu moja huku kiwango cha joto hilo sasa kikirabia nyuzijoto 50.
Wengi waliokufa kwa joto wako majimbo ya kusin i ya Pelangana na Andra Pradesh  ambako watu 1,118 wamekufa tangu wiki iliyopita.
Watu wengine wapatao 24 wamekufa kwa joto maji mbo ya West Bengal na Orissa na  inasemekana nyuzijoto zilikuwa zinaelekea kupungua k wa baadhi ya maeneo katika siku  chache zijazo.
Hospitali ziko katika hali ya tahadhari kutibu  wagonjwa waliozimia kwa joto na  wakuu wameshauri watu kukaa nyumbani na kunywa maji  mengi na vinywaji vingine hasa  vya matunda.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment