Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP
lime sema meli yenye shehena hiyo ya
chakula imetia nanga bandari ya Port Sudan na sehemu kubwa ya shehena hiyo ni mtama ambacho ni chakula kikubwa cha watu wa
Sudan.
Taarifa zinasema kutokabandari ya Port
Sudan chakula hicho kitasafrishwa
shirika la mpango wa chakula duniani
kwenda nchi nzima hasa Jim bo la Darfur magharibi mwa nchi hiyo.
Rais OMAR al-BASHIR amekuwa anapambana na
waasi kwe nye Jimbo la Darfur tangu mwaka
2003 na majimbo ya Blue Nile na Kordofan Kusini tang u mwaka 2011 baada
ya kujitenga na Sudan Kusini.


0 comments:
Post a Comment