Image
Image

Zaidi ya watu 20 wa Kenya wameuawa na watu wenye silaha wanaosadikiwa kuwa wa kikundi cha al–Shabaab.


Polisi  zaidi ya  20 wa Kenya wameuawa  na watu wenye silaha wanaosadikiwa kuwa wa kikundi cha al–Shabaab wa Somalia.
Vyombo vya habari vimesema shambulio hilo limetok ea wakati watu hao wenye silaha  walipovamia msafara wa polisi karibu na mpaka wa Somalia na likiwa shambulio la  tatu la hivi karibuni.
Shambulio hilo lilitokea kwenye kijiji cha Yumbis,Kilomita 70 Kaskazini  ya mji  wa Garisa na magari manne ya polisi kuchomwa moto wakati yakienda kuokoa wenzao  wakati gari lao liliposhabuliwa kwa bomu lililokuwa limetegwa barabarani.
Wiki iliyopita watu wenye silaha wa al–Shabaab  walishambulia kijiji hicho cha  Yumbis na kupeperusha kwa muda bendera yao k wenye msikiti waliposwali  kabla ya kwenda kijiji kingine cha karibu.
Kikundi cha al–Shabaab ambacho katika m iaka ya hivi karibuni kimefanya  mashambulio kadhaa kuilazimisha Kenya kuondoa  majeshi yake huko Somalia mwezi  uliopita kilishambulia Chuo Kikuu cha Garisa na  kuua watu wapatao 150 wengi wao  wanafunzi.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment