Image
Image

Eritrea imekanusha vikali ripoti iliyoto lewa na UN juu ya ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu.


Serikali ya Eritrea imekanusha vikali ripoti iliyo tolewa na Umoja wa Mataifa juu ya ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaodaiwa kufanywa na nchi hiyo.
Katika taarifa yake Eritrea imedai kuwa ripoti h iyo imekuwa ni ya kisiasa kwani  kama huko hakuna ushahidi wowote wa kuthibitisha tuhuma hizo za  ukiukaji wa haki za  binadamu.
Kwa sababu hiyo serikali ya Eritrea imesema ri poti hiyo ilikuwa ni kampeni ya  kulichafua taifa hilo ambalo linathamini haki za binadamu.
Umoja wa Mataifa ilichapisha ripoti hiyo baada ya uchunguzi wake wa mwaka mmoja.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment