Ziara hiyo itakuwa ya pili kwa
Bwana HOLLANDE ba ada ya ile ya mwaka 2012 ambayo alitambua karne ya utawala wa kikatili wa
Ufaransa kwa watu wa Al geria uliomalizika kwa vita vya umwagaji damu kwa uhuru wa nchi hiyo.
Wakati bado kuna masuala nyeti
kati ya nchi hizo mbili kama kukataa kwa
Bwana HOLLANDE kuomba radhi kwa uhalifu
uliofanywa na utawala wa kikoloni wa nchi yake kwa Algeria wasi wasi wa pande zote kuhusu kushamiri itikadi ya jihadi kaskazini
mwa Afrika ambayo imepewa kipaumbele na pande zote.
Algeria inapakana na Mali ambayo
bado iko katika hali tete baada ya
oparesheni ya Ufaransa mwaka juzi
kuwatimua wapiganaji wa jihadi waliokuwa wamekamata nusu ya ma eneo ya
kaskazini ya taifa hilo la Afrika
Magharibi.
0 comments:
Post a Comment