Image
Image

Kenyatta awataka viongozi wa Afrika kuacha kupokea misaada ya kigeni.


Rais UHURU KENYATTA wa Kenya amewaomba viongozi wenzake wa Afrika kuacha kupokea misaada ya kigeni akisema siyo msingi unaokubalika kwa ustawi.
Katika mtandao kuelekea mkutano wa viongozi wa Afrika huko Afrika ya Kusini mwishoni mwa wiki hii Bwana KENYATTA amesema kuwa utegemezi wa kupewa unaoonekana tu kama hisani ni lazima uishe.
Kiongozi huyo wa Kenya amesisitiza kuwa msaada wa kigeni mara nyingi huwa na masharti yenye mazingira ambayo mara nyingi huzuia maendeleo kwa hiyo ni wakati wa kuachana na misaada ya kigeni.
Misaada inasadikiwa huchangia kati ya asilimia tano na asilimia sita ya jumla ya pato la Kenya.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment