Image
Image

Pope FRANCIS kutembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati na Uganda.



Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Pope FRANCIS amesema anapanga kutembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati na Uganda mwezi Novemba.
Pia anatumaini kwenda Kenya wakati wa ziara yake hiyo ya kwanza ya Afrika tangu awe kiongozi wa dunia wa kanisa hilo.
Akizungumza na kundi la mapadri kutoka kote duniani alisema alikuwa anataka kuongeza Kenya katika ziara yake hiyo ya Afrika lakini bado iko katika hati hati kwa sababu za matatizo ya maandalizi.
Hata hivyo hakuelezea zaidi juu ya magumu ya kutembelea kutembelea Kenya ambayo lakini imekuwa inalengwa kwa mashambulio na wapiganaji wa Somalia wa kikundi cha al-Shabaab.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment