Image
Image

Manowari ya Liaoning ya China yafanya mazoezi na majaribio baharini.


Manowari ya Liaoning ambayo ni manowari ya kwanza inayobeba ndege ya China leo asubuhi imefunga safari kutoka bandari ya kijeshi ya Qingdao iliyoko mashariki mwa China, kwenda kufanya mazoezi na majaribio ya utafiti wa kisayansi baharini. 
Jeshi la majini la China litasimamia uongozi wa manowari katika safari hiyo, ili kutathimini ufanisi wa mazoezi na majaribio ya utafiti wa kisayansi katika miaka mitatu iliyopita.

Tangu mwezi Septemba mwaka 2012, manowari hiyo imefanikisha majaribo zaidi mia moja ya utafiti wa kisayansi, na mazoezi ya kupaa na kutua kwa ndege za kivita aina ya J-15 na helikopta za aina mbalimbali kwenye manowari hiyo.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment