Naibu Waziri wa Fedha Mheshimiwa
MWIGULU NCHEMBA amesema hayo bungeni wakati akijibu swali lililohoji sababu za
magari au matrekta mabovu kuendelea kudaiwa leseni kwa kuwa hayatumiki.
Amesema kwa kuzingaatia sheria
hiyo inashauriwa kwamba wamilki wa vyombo vya moto ambavyo ni vibovu na
havitumiki waende katika ofisi za Mamlaka ya Mapato ili kufuta usajili wa
vyombo hivyo.
Aidha, amesema kama mmiliki
atafanya hivyo hataendelea kutozwa ada ya leseni ya kila mwaka kwa kipindi
chote ambacho chombo chake hakitumiki.
Hata hivyo, amesema matrekta
hayalipiwi ada ya leseni ya mwaka kutokana na umuhimu wake kwa wakulima.
0 comments:
Post a Comment