Image
Image

NEC Kuboresha daftari la wapiga kura mikoa nane ikiwemo Manyara Mwezi huu.


Tume ya Taifa ya Uchaguzi  inatarajia kuanza uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura katika mikoa ya  Geita, Simiyu, Mwanza, Shinyanga, Arusha ,  Kilimanjaro, Mara na Manyara kuanzia tarehe tisa mwezi huu  hadi tarehe tisa mwezi ujao .
Imesema vituo vya Uandikishaji vitakuwa kwenye Vitongoji,Mitaa na Vijiji katika Kata zote za Mikoa hiyo minane na wale wote waliotimiza masharti wanahimizwa kwenda kujiandikisha.
Taarifa iliyotolewa na tume hiyo imesema waliojiandikisha awali kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura  wanatakiwa kujiandikisha ili   kuhuisha taarifa zao na kupata kadi mpya za kupigia kura  kwa ni kadi za zamani hazitatumika kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu .
Wananchi wanatakiwa kwenda kujiandikisha kwenye vituo vya kujiandikisha vilivyoko ndani ya Kata zao na uandikishaji  utaf anyika kwa muda wa siku saba   kwa kila kituo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment