Image
Image

Serikali kupitia Jeshi la Polisi imeendelea kupambana na wimbi la mauaji ya watu wenye Albinism.



Bunge limeelezwa kuwa  Serikali   kupitia  Jeshi la Polisi imeende lea  kupambana na wimbi  la mauaji ya  watu wenye  Albin ism kwa  kuimarisha kitengo cha Intelijensia  na kufaya  misako na doria za mara kwa mara ili kuwabaini  na kuwakamata  wahalifu .
Hayo yamesemwa Bungeni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, PEREIRA  AME  SILIMA alipokuwa  akijibu swali la Mbunge wa viti maalum,CLARA MWAITUKA,aliyetaka kujua Tanzania  inachukua  hatua gani juu ya vitendo vya mauji ya watu wenye Albinism  pamoja na  kuhakisha amani na utulivu inakuwepo .
Naibu  Waziri SILIMA amesema ni kweli,kuwa tangu nchi ipate uhuru  imeendelea  kusifika  duni ani  kote  kuwa kisiwa cha amani na utulivu  wa kutosha kwa shughuli za jamii,siasa na uchumi .
A mesema ni azma ya Serikali kuhakisha  sifa hiyo njema ya amani  na  utulivu   inadumishwa  kwa nguvu zote ili sifa  hiyo  nzuri inaendelea  kulibeba taifa la Tanzania katika medani mbalimbali za kimataifa.
Hata hivyo  Naibu Waziri SILIMA amesema kwa siku za hivi karibuni  kumean za kujitokeza  vitendo hivyo ambavyo ni vya u katili hasa kwa    watu wenye Albinism ,vikongwe  na matukio ya  vurugu  za makundi   na  kwamba hali hiyo haikubaliki.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment