Image
Image

Unafahamu nini kuhusu majani ya muembe*Unajua majani haya ni tiba basi soma kufahamu.


Muembe ni mti unaotoa matunda yaitwayo maembe, ambayo huwa na ladha nzuri, lakini mbali na mti huu kutupatia matunda pia unaweza kutumika zaidi na kuwa dawa ya matatizo mbalimbali.
Majani ya mti wa mwembe yanapochemshwa huweza kutumika kama tiba ya matatizo haya yafuatayo;
Husaidia sana kuweza kutibu wale wenye tatizo la kikohozi kikavu.
Aidha, maji yake huweza kusaidia katika kuoshea vidonda kimsingi majani ya mwembe yanauwezo mkubwa wa kukausha majeraha.
Pia husaidia sana kutoa ahueni kwa wale wenye matatizo ya pumu.
Mbali na hayo, unga wa majani ya mwembe huweza kutumika kwa kutunza meno , ambapo mtu mwenye tatizo hilo atapaswa kusukutua kwa kutumia unga unaotokana na majani hayo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment