Image
Image

Wapinzani wakataa pendekezo kutaka uchaguzi wa rais wa nchi hiyo ufanyike tarehe 15 ya mwezi ujao.


Wapinzani wa Burundi wamekataa pendekezo la kutaka uchaguzi wa rais wa nchi hiyo ufanyike tarehe 15 ya mwezi ujao kwa kusema dai lao la kutaka kuwepo kwa uchaguzi  huru halijatimizwa.
Tume ya Uchaguzi ya Burundi imependekeza tarehe zi nazowezekana kufanyika uchaguzi  uliosogezwa mbele ambapo kwa rais ni tarehe 15  mwezi ujao na wabunge tarehe 26  mwezi huu.
Awali uchaguzi wa wabunge na rais ulipangwa kufany ika tarehe 5 na tarehe 26 mwezi  huu na haielekei kama tarehe hizo mpya za uchag uzi zitawaridhisha wapinzani wa  Serikali na wanaharakati.
Kwa upande wake Mkuu wa Haki za Binadamu ZEID  RAASD al-HUSSEIN ameonya kwamba  vijana wa chama tawala wameleta machafuko zaidi katika nchi hiyo iliyokum bwa na  maandamano na baadaye jaribio la mapinduzi kupinga  Rais PIERRE NKURUNZIZA kugombea  muhula  wa tatu .
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment