Ajali
hiyo ilitokea El Fahes kiasi cha kilomita 60 kusini-magharibi ya mji mkuu wa
nchi hiyo, Tunis wakati wa asubuhi ambapo kunakuwa na heka heka nyingi za watu
wanapokwenda kwenye shughuli zao.
Mashuhuda
aidha walielezea jinsi mabehewa yalivyokuwa yameharibika na kutapaa kwa miili.
Maafisa
wanasema watu 30 bado wamelazwa hospitalini kwa matibabu wakati wengine
wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.
0 comments:
Post a Comment