Kwa mujibu wa shirika la habari la serikali Xinhua
watu wanane wameokolewa mpaka sasa na kazi inaendelea ya kuwaokoa abiria
wengine.
Waziri Mkuu Li Keqiang anaelekea katika eneo la
tukio.
Meli hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka mashariki mwa mji
wa Nanjing kwenda Chongqing kusini magharibi ilipozama.
Meli hiyo, Dongfangzhixing - au Nyota ya Mashariki -
ilikuwa imewabeba abiria wa Kichina 405, wafanyakazi watano wa shirika la usafiri
na wafanyakazi 47 wa meli hiyo.
0 comments:
Post a Comment